TAMBUA FURSA YA BIASHARA NA KINYWAJI CHA TREVO



Je, una ndoto ya kuishi maisha yaliyokamilika ya kitajiri ? Vipi kama ungeyabadilisha maisha yako na maisha ya mamia au ata maelfu ya watu wengine ? Utakuwa na furaha kiasi gani pale ambapo ungefanikiwa kuyafikia malengo ambayo watu wengi wanayaota?
Kupitia Trevo ,utabadilisha maisha yako na kufikia malengo.Utahamasishwa kuishi maisha ya hali ya juu na yenye uhuru usio na mipaka;kuishi bila madeni;kuishi maisha ya furaha;maisha ya kutajirika;na maisha yanayotimiza malengo yako na jinsi unavyotaka yawe mahali unataka .
Leo,Fursa hii ya kuwa sehemu ya wafanyabiashara wa kimataifa umeishikilia mikononi mwako,kwa yule ambaye nafasi yake ya kufanya hivyo haijabanwa.Kwa hiyo hapa swali ni kwamba,je wewe unafikiria mbali?
Kwa kifupi lengo la kampuni hii ni kukuwezesha wewe mpenzi wa biashara za mtandao kufikia ndoto zako za kuondokana na umaskini ukiwa unaishi maisha yenye furaha na kuleta mabadiliko katika maisha ya wenzako kwa kukuletea fursa hii ya biashara yenye mpango bora wa ulipaji.

                               Nani Anaruhusiwa  Kujiunga Na TREVO?

TREVO inamruhusu mtu yeyote anayependa kuifanya biashara hii ya mtandao kujiunga bila kujali kiwango cha elimu au kipato chake. TREVO inajali tu nia thabiti ya mtu aliyonayo ya kutaka kufanya biashara na inampa mtu fursa ya kuchagua kiwango cha mtaji anachopenda kuanza nacho na kumpa msaada wa mafunzo ya jinsi ya kufanya biashara hii ya mtandao . Hakuna gharama za kiingilo kama kampuni nyingine, TREVO NI BURE!

 

Mpango Wa Ulipaji Wa TREVO

Kampuni ya TREVO Tanzania inakuwezesha kupata malipo kutokana na njia kuu 8 na kipato chako kitaongezeka kulingana na idadi ya chupa ulizoanza nazo, mauzo yako kwa mwezi, idadi ya wanachama walio chini yako (wanachama uliowaingiza kwenye kampuni na walioingizwa na wale uliowaingiza n.k.) na mauzo ya wanachama walio chini yako.
TREVO Tanzania inalipa bonus ya papo kwa hapo pale unapomwingiza mwanachama mpya. Kwa mfano, kama wewe ni mwanachama uliyeanza na chupa 3 kwa Tshs 389,200/  na ukamwingiza mwanachama mwingine chini yako wa chupa 3 kama wewe, unapata bonus ya papo kwa hapo ya 100,800/.
Trevo inakupa malipo kwa kila chupa ya ziada unayonunua wewe na walio chini yako kwa kiwango cha asilimia 20 ya bonus yako. Trevo inafanya hivyo kwa kila mwanachama aliye chini yako hadi ngazi 8.

Tofauti Ya Kampuni Ya Trevo Na Nyinginezo

 

1. Trevo ina viwango tofauti vya kuanzia kufanya biashara, ambapo unaweza kuchagua kiwango unachoona kinakufaa. Viwango hivi vimetajwa kama PS1 … hadi PS6. PS1 ni kiwango unachoweza kuanzia kwa mtaji wa Tshs 156,500/ na PS6 ni  kiwango cha kuanza biashara kwa mtaji wa Tshs 2,832,500/.
2. Unaweza kujiunga na Trevo na kuamua kuuza biashara yako kwa reja reja na ukapata faida za kati ya asilimia 20 hadi 40. Fikiria kununua product kwa Tshs. 84,000/ na kuuza kwa Tshs. 165,000/, hicho kikiwa ndio kiwango cha chini.
3. Kwa ujumla kuna njia tofauti 8 za kupata fedha kutokana na kufanya biashara ya kirutubisho cha Trevo.
4. Kampuni inatoa tovuti  binafsi ya bure kwa kila mwanachama aliyejiunga ili aweze kuitumia katika kuendesha biashara yake.
5. Mafunzo kuhusu uendeshaji wa biashara hii hutolewa kila siku na ni bure!
6. Kampuni ina bidhaa moja tu inayojiuza yenyewe kwa sababu mtu akiitumia tu inatoa mafanikio ya ajabu kabisa hivyo lazima atawaambia wenzake wenye matatizo kama yake ili nao waitumie. Ukifanya biashara na kampuni hii unauza mali yako yote na kubakia na faida yako mkononi bila kuwa na mrundikano wa bidhaa ambazo hazijauzwa ndani ya nyumba yako.:

Namna Ya Kujiunga Na Trevo

Ni rahisi mno kujiunga na Trevo na ukaanza kutengeneza pesa siku hiyo hiyo, sio utani. Kinachotakiwa ni bidii yako, ingawa uzoefu unasaidia zaidi. Tumia njia yo yote iliyo rahisi kwako kati ya hizi nilizoziorodhesha hapa chini kuwasiliana nami. Naahidi kukujibu mara moja na kukupa mwongozo wa jinsi ya kujiunga na kuanza kunufaika na biashara ya kampuni hii BURE kabisa.

 Kwa maelezo zaidi jinsi ya kujiunga wasiliana nasi kupitia promota927@gmail.com au piga simu kwenye nambari zifuatazo: +255 655 858027 au +255 756 181651.



 au tembelea www.trevo.co.tz kwa maelezo zaidi.
Share on Google Plus

About Jikomboe Youth Group

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment